Wadau nauza harddisk ya laptop aina ya toshiba powered by satelite pamoja na spare zingine za hio mashine kwa atakaekua anahitaji anitafute via mudimonttana@gmail.com
Jamani kwa wale wakazi wa arusha nauza harddisk ya laptop aina ya toshiba powerd by satelite kwa ane hitaj antafute via mudimonttana@gmail·com asanteni
Jama haya maredio ya sikuhizi nayo yamekosa watu wa kuhojiana nao mpaka yana karibisha masavimbi . Hili jamaa halina haya wala soni, lili kuwa linajigamba kwamba lazima Arusha lita chukua kata zote sasa mbona limeangukia pua? Na wale wapambe wake wako wapi?.
Ni Tanzania tu Waziri wa nishati anawatangazia wananchi kuanzia mwakani tutaanza kuuza umeme nchi za jirani wakati asilimia 87 ya wa Tz bado hawaja unganishiwa umeme na hawajui ni lini wataunganishiwa umeme.
Ni Tanzania tu Waziri wa nishati anawatangazia wananchi kuanzia mwakani tutaanza kuuza umeme nchi za jirani wakati asilimia 87 ya wa Tz bado hawaja unganishiwa umeme na hawajui ni lini wataunganishiwa umeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.