Enzi za Jakaya 2012
Huu ndo uzi nikiusoma huwa nacheka sana.
Ila sasa nimekua sana
https://www.jamiiforums.com/threads/madame-b-niko-online-niulize-swali-lolote-kunihusu-mimi-iwe-ni-mapenzi-mahusiano-na-mengineyo.1350681/
Pole.
Hata mimi niliazimisha akaweka kwenye computer yake, akafuta kila kitu
Toka 900 Gb mpaka 0Gb.
Nilichanganyikiwa sana.
Ila nikaenda Samsung stole, wakai-format upya.
Shida yake sasa, hakuna jina la movie hata moja lililorudi, movie zimekuja kwa mfumo wa file kama hv ila zinacheza vizuri tu...
Hi mdogo wangu kipenzi Lamomy 🥸
Ungenipigia simu mdogo wangu, maana kuni-mention tu ningeona haitoshi.
Si unanijua mie dada yako hivi ndo vitu vyangu....🤭🤭😛😛
Kiukweli kutoka moyoni, napenda sana mwanaume mwenye maumbile makubwa, sio kwamba nina bwawa, la hasha!, ni vile tu ninavyolililia wakati wa mizagamuo.
Nimetumia tafsida maana mdomo wangu naujua mie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.