Nimekuwa nikifuatilia bunge la tanzania kwa muda mrefu sasa tangu zama za spika sitta hadi sasa anne makinda a.k.a bi chau.nimegundua mapungufu mangi sana,lakini moja wapo lililo kubwa zaidi ni hili la chama cha mapinduzi kuweka uzalendo pembeni na kuteteana ili kuficha maovu.Tumeona ccm na...
Niko pande za mikocheni ha mitaa ta TMJ mafuriko yametawala hapapitiki na mvua bado inaendelea kunyesha kwa mbele pake kuna bajaj imezama kwenye shimo kwani barabara ilikuwa imefunikwa na maji.hatari sana watanzania. Inaonekana huu ulikuwa mkondo wa maji watu wakaublock. My fair hapafai,kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.