POLICE TANZANIA WAMESHINDWA KAZI KUNZIA NGAZI ZA JUU MPAKA ZA CHINI .HATA MIMMI SIJUU KWANINI TUNA POLICE ?
Nafikiri Serikali lazima hingalie mfumo mpya wa mafunzo ,huwandikishaji pamoja na mishahara na marupurupu mengine siyo.
Huu ni wakati wa kuhinua uchumi wa nchi yetu TANZANIA.
Lazima Serilikali hitumie kila mbinu kuhinua hali ya maisha ya wananchi.
Kwa sasa hivi Tanzania uchumi wetu mkubwa unatokana na kilimo.
Kwahiyo serikali lazima hitafute njia zingine zaidi kuhingiza mapato na hajira zaidi.
Nafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.