Hili ni tatizo kubwa kwelikweli, wengi wetu tunaamini kuwa mtu akiwa na mwili mkubwa ndio ishara ya afya bora, wazazi wengi wanawalisha watoto wao vyakula vya mafuta na protini kwa wingi sana na kupotezea vyakula vya vitamini ambavyo ndio msaada mkubwa kwa mwili wa binadamu.......
Jaribu kuzingatia ushauri wa wadau, mi naamini ipo siku utapost habari ya kufanikiwa kwako juu ya hili suala, kumbuka mungu humwokoa kila anayemtumaini, kuwa na imani kuwa inawezekana na ujiamini zaidi.
Lema ni zaidi ya kamanda kiukweli, na kama wazee wa magamba walidhani wamemshusha imekula kwao, mi naamini hili la kumpoka ubunge limemwinua si yeye tu bali chadema na tanzania nzima kwa ujumla. Ccm badala ya kujipanga wanaendelea kujipangua, na bado anguko lao lipo karibu saaaaaaana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.