Dr. Slaa alikuwa sahihi kukataa kufanya dialogue na Nape kwani mwaliko ulikuwa wa makatibu wakuu wa vyama hivyo viwili na sivinginevyo. Nape asitake kujitafutia umaarufu kupitia kwa Dr. wa ukweli.
kaah! mleta uzi anataka kutuaminisha kuwa watu wenye uwezo mkubwa kiakili ndo wanastahili mshahara mkubwa siyo? basi kama ndivyo maprofesa ndo wangestahili kuliko wabunge! All in all u'r too biased!
Tz ya leo nyingine kabisa, nakumbuka chaguzi za 1995,2000,2005 kila baada ya uchaguzi hakuna siasa kabisa lakini tangu tumalize uchaguzi wa 2010 mambo ndo yananoga utadhani uchaguzi ndo umekaribia,nadhani wananchi wanahasira ya kudhulumiwa!
Habari nilizozipata kutoka Mbulu kutoka kwa rafiki yangu ambaye ni mwl. huko ni kuwa walimu katika shule nyingi wamegoma hasa wa sekondari isipokuwa walimu wa shule kongwe ya Chief Sarwatt ndo wamewaangusha wako kazini.
Nasikia maafisa Elimu wamepiga mkwara lakini walimu wako ngangari.
Huu uzi hauna ukweli kiasi fulani,japo mgomo wa walimu upo lakini siyo wa siku tano wala kwa tarehe ambazo mleta mada ametutajia. Hili suala la mgomo wa walimu nimelifuatilia kwa kiasi kikubwa tu na ni kwamba CWT imetangaza mgogoro na serikali tangu tar-8/6 na kwa taratibu za sheria waalimu...
Baraza makini kabisa! nilivyosikia mabadiliko ya mawaziri kivuli yanakuja nilipata wasiwasi kuwa mbunge wa Mbulu (Mstapha Akonaay) atakuwepo na ingekuwa aibu sana maake jamaa ni kilaza ile mbaya kumbe hata CDM wanalifahamu hilo! CDM hakikisheni 2015 anapatikana m2 mwingine makini lasivyo jimbo...
Huyu jamaa kweli katumwa au hamnazo kabisa! wewe umeona kazi iliyofanywa na cdm ya kujenga chama jana inawanyima usingizi siyo? Binafsi nilikuwepo karatu kabla ya msafara kufika na tulipishana pale Marera nikiwa naelekea Arusha lakini hamasa niliyoiona pale karatu mjini si haba katika ujenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.