Barca bado ni timu nzuri, ila kwa mechi ya chelsea waliishiwa mbinu ukiachilia mbali habari ya club kutorudia ubingwa misimu miwili consecutive. Kwa ujumla barca huwa anapata shida sn kwa the blues kila wanapokutana. Pia kila xavi na iniesta wanapobanwa wakashindwa kucheza mpira wao wa kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.