He
Prof Shaba, alikuwa mtu muungwana mno. Hakuwahi kuwa na majivuno ya aina yoyote, a very simple man, mpenda utani na always kicheko kipo mdomoni mwake. Pia alikuwa Mwalimu mzuri sana katika fani yake. Alikuwa na marafiki wa cadre zote hasa wahudumu ambao alipenda kutaniana nao. Nakumbuka...
By 1987 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM ilitangazwa na Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwa Rais wa JMT kuwa Mwalimu alikuwa na Degree za Heshima 18 kutoka vyuo vikuu maarufu tofuti hapa Duniani.
Poleni sana, kunguni ni mdudu anayetokana na hulka za uchafu.
1. Safisha chumba vizuri.
2. Zoa uchafu na hakikisha umechoma moto ili mayai na kunguni walio katika huo uchafu wafe.
3. Hakikisha godoro lako halijatoboka au kuchanika, kama ndivyo lishone au badili cover ila hakikisha cover...
Juzi Viongozi wa Kijji huko Iringa wamehukuiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuhamasisha mauaji ya ndugu wanodhaniwa walikuwa wahalifu wazoefu hapo kijijini.
Jeshi la Polisi lina majukumu mengi na mazito na kwa hakika kwa mwanamke kuongoza bado sana.
Kwa wapenda usawa kwa kudhani kila kitu kinawezekana jiulizeni kwa nini hujawahi kumuona WP analinda Benki au maeneo nyeti.
Mapungufu katika maumbile na majukumu ni kitu cha kuzingatia .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.