binafsi niko pamoja na wewe lkn nikuambie kitu kimoja tu hawa jamaa wanaropoka vitu bila kufanya utafiti na mwisho wake vinakua na implications mbaya kwa wataalamu ......kwa ujumla serikali kupitia msd imeamua kuachana na ununuzi wa dawa badala yake wananunua vifaa tiba japo si vingi pia...
Pia wajumbe wengine walisikika wakisema kuwa Dr Slaa tayari amekataliwa na Watanzania mwaka 2010. Akisimamishwa kwa mara nyingine ni sawa na sisi UKAWA kudharau maamuzi ya wapiga kura yaliyofanywa 2010 ya kumkataa Dr Slaa."
sema mawazo yako wewe , mjumbe wa ukawa hawezi kuwa ----- kiasi...
waziri kama huyo anapotoa shutuma kama hiyo kwa watu ni dharau kubwa sana kwa watu wa idara ya dawa, pili zile dawa siku hizi zina label ya GOT kwann wasifanye ukaguzi wa mara kwa mara, in short serikali haipeleki dawa mahospitalini inaanza kutoa visingizio vya kijinga kabisa
kauli kama hizo...
Atiiiiiiii! kwani yeye Lillian ni wa kutoka Kilimanjaro, Arusha auuuuu?
nyie ndo mnaorudisha maendeleo nyuma kufikiria kwenu kote ni udini ,ukanda,na ujinga mwingine unaofanana na huo badilikeni!
mungu wa kweli ni yupi?acha kujiingizia kwa wanafki wenzio suala la udini linasababishwa na nyie wenyewe mnaojifanya mnachukia udini at the same time mnafanya hayo hayo,anyway dini pia ni siasa tu siku wenye influence kwenye dini ndo wale mafisadi,wauza unga na watenda maovu ya kila aina ambao...
hakuna uhuru wa mahakama nchi hii kijana tusubirini rasmu ya katiba ipite then tuone nani atakae mbuguzi jaji akitoa hukumu nzuri au mawazo yake mazuri,huyo mzee alipewa akiwa na umri mkubwa sana hawezi kuwa na jipya sana sana atajipendekeza kwa mkuu wake hana credibility ya kufanya mageuzi...
namuheshimu sana Dr.kitila kwamba hawezi kuhusika kwenye maswala ya kitoto namna hiyo lkn nmeona jina lake limetajwa na Mamuya hii imekaaje jamani,mnawakatisha tamaa wa Tanzania jaribuni kuwa makini Brother Zitto kaa chini na viongozi wenzako hii picha sio nzuri na kama umekosea omba msamaha...
Asante mkuu kwa marekebisho,lakini kuhusu swala la chama mkuu ni CDM .Matatizo nlisema nitaendelea kuyaelezea mbeleni ikiwa pamoja na mipango yangu yote
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho hapa muhimbili, nalitamani na ninatamani sana kuwatumikia wananchi wenzangu wa kahama. Kilichonisukuma sana ni kuona rasilimali nyingi tulizonazo wana wa Kahama ni aibu maisha tunayoishi tukiendelea kutembelea barabara za vumbi ,ugumu wa maisha ukituandama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.