We Mzee jisitili ubakishe hata heshima kidogo hapa jukwaani. Hivi ni nani kakuroga? Au ndo njaa? Kumbuka teuzi zishakwisha ludia akili yako ya kufikili nnje ya boks hukuwa HV we Mzee.
Jamani zito anatafuta kick ya chama chake kulamba mbunge katika nafasi kumi za magufuli. inabidi asikosekane kwenye media kutwa kujipendekeza kwa maficcm
Act hawatokuwa wamoja na chama kimejengwa kwenye usaliti hii zambi hatoikwepa ni kama kula nyama ya MTU. viongozi wake wengi ni wababaishaji tu kwahiyo wakikosa matalajio yao ni rahisi kusaliti hicho chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.