Matajiri wakubwa wa Ulimwenguni wamepeana talaka na wake zao: chukua mifano hii
1. Bill Gates
2. Jeff Bezos
3. Aliko Dangote
4. Elon Musk ana ex-wives wawili.
So, fikiria hoja yako vizuri; inaweza ikawa na ukweli kwa ngazi flani ya maisha ila sio ngazi zote.
Mkuu sie hapa wapiga domo tu. Waache watu wapambane, maana chanzo cha zuio hilo sababu yake inajulikana. Kila weekend kuna events kibao za overnight zinafanyika na hakuna biti lolote. Waache wafu wazikane, sie tubaki watazamjaji.
Hivi watanzania kwanini tuna akili ngumu sana kuelewa hata ujumbe mwepesi hivi. Imeandikwa kilichoabiwa ni sanduku la kuwekea nyaraka na fedha (safe box). Ni wapi mwandishi kaandika humo ndani kumewekwa fedha? Nani kawaambia mtu akiwa na safe box ofisini lazima atunze fedha humo? Acheni kukariri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.