Naipenda Tanzania, najivunia kuwa Mtanzania. Serikali yetu inamamlaka kisheria juu ya usimamiaji wa haki na usawa, mgawanyo wa raslimali zote za nchi kwa raia wake bila upendeleo. Kwa niaba ya wananchi serikali inamiliki dola, vyombo vya usalama, vyombo vya fedha (Mfano Benki Kuu, ukusanyaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.