Planning ni kitu ambacho u cannot escape from; ukifamtilia mtoa maada vizuri,utagundua kwamba, alifocus kwenye financial institutions ambazo zingeweza kumpa mkopo mengi,kwa bahati mbaya akachekwa; Issue ni kwamba,planning sio kupata finacial assistance too,ile ndio inaleta viability ya...
kuna kitu kinaitwa multi organism,that u may reach organism bila ejaculation ili kuendelea kupata hamu ya kuendeleza chezo; style yako ya kubana kichwa sio nzur;kuna msuli mmoja unaitwa PC muscle upo nyuma ya pumpu,ule unatakiwa uwe strong kiasi cha kuzuia bao kutoka wakati unafika organism...
Wanajf; Sitaki kuamini kama hii system ya kuweka wanafunzi barabarani ili msafara wa kiongozi flan apite.
Nakumbuka 2009,sikumbuki tarehe,nlikua form 6 pale Minaki chini ya Head master JJ Kaaya,tulitangaziwa sku moja kabla,kwamba kesho yake patakua na msafara wa makamu wa rais,Dkt Shein...
sio kweli,hakupigiwa kampeni na Lema.Tofautisha huyu Idd na Mwanaharakat Philipo Mwakibinga ambaye alisimama kidete kwa ajili ya field ya baadhi ya degree programs.Na ameshafukuzwa chuo tayari
Sio mwanachadema,aliingizwa pale kwa nguvu ya Management ambayo ilisababisha 3/4 ya wanafunzi kukacha kupiga kura.Mie pia ni mwanafunz wa college anayoiongoza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.