Fanyeni uchunguzi wa kina kwa hayo mnayoyasema, kwa mfano kuhusu kumiliki gari na cmu, je, unafahamu vyanzo vyote vya mapato vya huyo mtu?
Msiwaonee uhamiaji jamani haya mapungufu yapo kila idara hapo tz, hata ikulu wapo watu wa aina hiyo.
Mie binafsi naona tangu alipoondoka uncle TIDO hamna jambo lolote linalofanana na TBC kuwa tv ya taifa inazidiwa na vituo vingine vya televisheni hapa tz kufanya yanayotakiwa kufanywa na TBC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.