Nakubaliana na mtoa mada kuwa taifa linashabikia uzinzi kwakuwa hata viongozi wa dini yake hawakuthubutu kukemea dhambi hiyo hata ktk ibada hiyo ya mazishi. Naomba ieleweke kuwa dhambi hiyo isipokemewa na hasa ktk mazingira kama hayo vijana wetu watadanganyika na kuendelea kutenda tendo la ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.