Mimi mtanzania wa kawaida mpaka leo sijaelewa kuwa tuliaminishwa kuwa tunawadai trillion 320 mwisho wa siku tukaambulia billion 700 na 16% .Enzi za mwenda zake ilikuwa haramu kujadili lakini leo hayupo tujulishane ukweli
kali ya VP kwenye nchi za wenzetu leo masoko ya hisa na mitaji yangeyumba sana.lkn kwa tanzania ni jambo la kawaida,naibu waziri anasema ni hisia tu!!!kwa hiyo makamu wa rais kaongea hisia,mungo,hajui...!lakini ni wa pili kwa mamlaka katika jamuhuri ya muungano wa tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.