Viongozi wa kisiasa wanachaguliwa kulinda maslahi ya nchi wao kinyume chake wanatetea mslahi ya vyama,wizi wa mali za umma na kwa dharau kubwa kwa wananch ikifika muda wa uchaguzi wanaenda kuwahadaa wananchi kwa porojo na kuwaomba tena kura ili wawale! hii ni hatari. wananchi tunahitaji kuwa...
Kuna uhuni unatokea hapa nchini na hii inatokana na kuporomoka kwa maadili hasa kwa viongozi ambao wanafanya wanachokitaka hata kama ni cha hatari bila woga wowote. Ukiona kiongozi anavunja taratibu kama anavyotaka bila kuwajibishwa ujue inchi imefikia pabaya na watu waadilifu wataishia kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.