Search results

  1. Z

    Nafasi za mafunzo ccp

    Makamanda vp kuhusu majina ya graduates kwenda ccp moshi
  2. Z

    Serikali dhalimu ya CCM inavyo wakumbatia wahujumu uchumi kilosa

    mkutano wa hazara uliofanyika jana kata ya magomeni Kilosa ulizihirisha kuwa serikali ya CCM isivyo wajari watz baada ya mkuu wa wilaya kuwapa ushilikiano wahujum uchumi walio vunja miundombinu ya viwanda ,kuwatumikisha watz bila kuwalipa stahiki zao, leo wajakupola ardhi kimabavu
  3. Z

    Serekali ituweke wazi mliki wa mashamba ya miyombo estate kilosa ni yupi.

    Hacheni ujinga watz mwaka 67 mwl nyerere alitaisha mashamba nakumilikiwa na watz wenyewe chini ya serekali huru pili kikatiba shamba lisipoendelezwa kwa 5yrs na kutoinufaisha jamii mwekezaj hupolwa ikoje kilosa kuna mchwa hapo wapaswa valisha gwanda
  4. Z

    Lema ni kiboko ya CCM Arusha, msafara wake toka Mahakamani leo umethibitisha bado ni hatari kwao

    Limitations live only in our minds but if we use our imaginations our possibilities become limitless haraaaa chuga!
  5. Z

    Mama na familia wazikwa hai na bomobomoa ya Madale

    katika hili hatunabudi wanaharakati wa haki za binadamu na wanasheria kufuatilia haki ya kuishi ya familia husika
  6. Z

    Mkulo auza jimbo

    Jimbo la kilosa anakotoka mh.Mkulo ccm laingia ktk hali ya kusikitisha sana kufuatia ubazilifu mkubwa wa mali za uma na vyombo vya dola.wananchi wapolwa ardhi yote na kujimilikisha viongoz na inasemekana mkulo akiwemo ili wakope bank kuu....
  7. Z

    Dr.slaa ahutubia kilosa

    muda huu Dr.slaa anahutubia wananchi wa kilosa na amevumbua ufisadi mkubwa ktk misaada ya wahanga wa mafuriko kilosa,upolwaji ardhi na uvunjifu wa haki za msingi za kibinadamu
  8. Z

    Chadema kilosa leo live

    Dr. Slaa leo aichana live kilosa leo akiwa na timu nzima ya chadema kilosa
  9. Z

    Chadema kilosa

    people's ...power! People's power wanakilosa wanahamu sana ya kuiona M4C Kilosa kwani kizuizi nini?
  10. Z

    Sekondari iliyotoa viongozi na watu mashuhuri wengi Tanzania

    kumbe ninyi watoto sana na kwa bahati mbaya historia imewapiga chenga?TANGA SCHOOL
  11. Z

    Black-white colonialism kilosa

    vita ya majimaji ni mojawapo ya ushahidi wa kihistoria unaotukumbusha upinzani ulioonyeshwa na watanganyika kupinga upolwaji wa mashamba na makazi yao kama kilosa leo hii.Tz completely dependent,not free,and is a white men colony "we need our country"by ballot/bullet
  12. Z

    wakimbizi,watumwa August 1 Kilosa

    wale wamepigwa buubaa!yaani changa la macho
  13. Z

    wakimbizi,watumwa August 1 Kilosa

    kufuatia taarifa kwa uma wa kilosa hasa kata ya magomeni!iliyotolewa na afisa mtendani kata kuhusu kupolwa mashamba ya wananchi na makazi yao, na kupewa muwekezaji.na kuwataka wananchi kutolima mashamba hayo ifikapo august 1 2012 na kutoka kwenye makazi yao ya sasa hali inayowafanya wakilosa...
  14. Z

    MWL wa Math na Physics

    ulisoma lini ualimu?kitivo gani?ngazi ipi?
  15. Z

    Abolish canings in school

    we have to use this as a last resolt and not abolish since it play a big role in shaping the be havior of the student.ma people
  16. Z

    Vurugu Zanzibar, Bilali anazindua vitabu.

    hayo ndio maisha yanazidi kuwa bora kwa watanzania.
  17. Z

    Nape Nnauye anawasili asubuhi hii Missenyi Kagera Kunusuru CCM!

    vijana maneno sio vitendo!yatupasa kuwa makini kifikra na utendaji pia kwa mtu mmoja mmoja na vikundi ikibidi!tujifunze kwa yaliyopita tupate dira kamili ya kuinusuru nchi hii?vizazi vijavyo vitukumbuke kwa mema sio hoo!waliingia mikataba laghai ...mpaka lini?
  18. Z

    Updates: Simba SC vs Yanga SC Uwanja wa Taifa

    wanasport mtujuze huko National stadium vp
  19. Z

    Maoni ya Katiba mpya:

    B'se we dont have our standing point interm of national ideology &philosophy and long turn living without national identity!thus the issue of values recently is confusing and complicated my dear.as it raise questions what?to whow? When&where? How?considered apropriate!
Back
Top Bottom