Hii taarifa ni yakijinga na wanaoifurahia ni watu mbumbumbu.Hivi unawezaje kuambiwa umetengeneza kadi za shilingi 4,050,000 na wewe ukakubaliana na taarifa hiyo? Mwenye akili angehoji, kadi ngapi na kila kadi imetengenezwa kwa bei gani.Nchi hii ni ya watu wajinga wasio na hekima.
Midume yenye ndevu ilipiga magoti mbele ya wanawake na watoto ikiomba wanakalenga wamchague mgombea wao Godfrey Mgimwa.Mwgulu nchemba akaenda na misukule yake kuwatisha wanakalenga kuwa CDM ni chama cha Tindikali, lakini wanakalenga wamewapuuza.Wanasema wao wananhitaji maendeleo siyo habari ya...
Hizi ni porojo za CCM kwani wamezidiwa sana kwenye kampeni.Anayeratibu mpango wa kuvuruga uchaguzi Kalenga ni Mwigulu Nchemba.Na hii ni kwao kuwa wakishindwa itakuwa aibu kubwa.Jamaa wanashindwa kunadi sera zao wanachofanya ni kuporomosha matusi tu.Jambo hili linawafanya wanakalenga washindwe...
Hofu ya CCM kushindwa uchaguzi jimbo la kalenga imeanza kutanda baada ya chama hicho kulitumia Jeshi la polisi kumkwamisha mgombe wa chadema Grace Tendega asichukue form ya kugombea ubunge jumbo la kalenga.Hata hivyo mbinu hizo ziligonga mwamba baada ya walinzi wa chadema kufanikiwa kumtorosha...
Rafu iliyotumiwa na Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kuhakikisha wananyakua kiti cha udiwani kata ya Nduli imemfilisi mwenyekiti wa ccm mkoa huo Bi.Jesca Msambatavangu na kumlazimu kufunga duka la M-PESA.
Inadaiwa katika kampeni hizo CCM wametumia zaidi ya shilingi milioni 200 kuhonga...
Mweneyekiti wa serikali ya Mtaa wa yombo Bwana Athuman Maembe amesema kundi la kiharamia la watoto wa Mbwamwitu linaraditibiwa na Mtoto wa Mzee Lukosi.
Kundi hili linafanya uporaji wa mali za wananchi katika eneo la kiwalani.
Jana majira ya jioni kundi hilo lilivamia mitaa mbalimbali na kupora...
Hata viwanja vya makazi huwa hatuanzi ujenzi kabla ya kukamilisha malipo.Sasa hao mzumbe wanasheria tofauti na sheria inayotumika kwenye viwanja vya makazi?.Huyo meya anamtindio wa ubongo, na wewe uliye leta huu uzi uwezo wako wa kufikiri hauna tofauti na wa huyo mjinga mwenzako
Mgamba hamtaielewa philosophy ya dk.Slaa.Angesema wanalindwa, polisi wasingehangaika kama wanavyofanya sasa.Kwahiyo ukitaka kumuelewa DR.lazima ujifunze Philosophy kwani hata yesu alikuwa haeleweki kwa wajinga kama magamba, lakini welevu walikuwa wanamuelewa
Nimesikiliza mahojiano ya dr.Slaa kwenye africannow.Sikajakuta mahali ambapo amesema sera za ccm ni nzuri na chadema wakiingia madarakani watatekeleza sera hizo.Alichosema dr. ni kwamba tanzania inatafiti znuri za kitaalam ila hazifanyiwi kazi.....................ama kweli mtaji wa ccm ni uongo...
.
Tutajie mambo matano ya uchochezi ambayo dr.amefanya kwenye vyuo vya marekani.Wamarakani wanaakili,wanajua kiongozi lazima awe na maono.Kwaiyo kumruhusu kuzungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu ni moja ya kupima uwezo wa kongozi huyo.Hebu tueleza baba asha tangu aingie madarakani lini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.