Lo-rushwa a.k.a Lo-fisadi anastahili kwenda keko maisha yke yte yaliyobaki,kma ni mtu mwenye maamuz magumu na muadilifu auelezee uma tuhuma zinazomkabili asa ishu ya Richmonduli aliyodai kasingiziwa
Kumbuka msemo huu, in Tanzania if you are not confused then your head is not working properly.
Ukisikia kauli za viongozi wetu wanazotoa mikutanoni you get confused, if you get confused that's when you realise that your head is working properly.
Hahahaaaaa nimecheka sana ila...
Inasikitisha sana watz tunadhulumiwa mali zetu na bdo tupo kimya,tuna bandari ya dsm inayohudumia nchi zaidi ya tatu lakini uliza ni siasa tu,nchi ipo kwenye tano bora ktk kuzalisha dhahabu nyingi,tuna makaa ya mawe yaliyo bora,almasi,chuma,uranium na pekee yetu tunazalisha tanzanite.tuna milima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.