Nyie mnaoshinda mlangoni kwa mamvi ndio mnadhani misaada ni heshima. Nasikia siku hizi naye ana masharti...lakini nenda tui si umezoea...., kichwa cha panzi
Kafanye kazi na wewe uwape msaada, nyambafu. Umekalia ..unalia na misaada- nenda kwa mamvi anatoa misaada ingawa kapunguza halafu ina masharti....mburura we
Sefue hajatumbuliwa. Makatibu Viongozi kwa kawaida akija Mkulu mwingine wanabadirika. Alipokuja Mzee Mwinyi 1985 (hujazaliwa) 1986 akabadirisha KMK, Mwaka 1995 (sijui kama ulishazaliwa) alipoingia Mzee Mkapa 1996 akabadirisha KMK, Mwaka 2005 alipoingia JK mwaka 2006 akamteua KMK mpya na Mwaka...
Kama ungekuwa angalau unajua sheria kidogo tungeongea, lakini kwa kukusaidia tu hakuna sheria inayomfunga mtu aliyekwepa kodi. Sheria inasema akipatikana alipe na faini juu na kama akishindwa afirisiwe kulipia kiasi anachodaiwa. Nadhani umeelewa kidogo MBURURA
Wewe zwazwa mbona hutuelezi wewe umepata siri gani toka CCM. Naona kama unajitekenya na kucheka peke yako mburura. Kwanza CCK haina cha siri na inajua ushindi ni lazima kuanzia 80% na kuendelea halafu zoba unakuja na hoja dhaifu. Bavicha vichwa vya panzi bwana duuuu...
Mie nadhani mburura nyie mnaopinga mleta mada hamnazo. Huyo Lowsa anaposema elimu bure ipi? Ya shule binafsi za watu na mashirika ya umma au ipi? Mbona hamjiulizi angalau maswali mepesi haya. Kabla ya mikopo vyuo vikuu tulikuwa tunapata kitu kinaitwa Bursary au financial support kwa mfano sie...
Mungai hapaswi kuonekana mbele ya uso wa dunia. Aliua elimu kwa kuirudisha ziro. Alikataza michezo shuleni-UMISETA na michezo yote ya msingi ikafa kwa viwanja kupandwa miti. Akua mtaala wote wa msingi nasekondari kwa kuodoa stadi za maisha?, biahara?, akaunts?, kilimo hadi literature nk...
Kwani amekwenda kwenye kampeini, hao ni watu tu walijua atakuja kwenye mkutano wa sekta ya barabara wakajitokeza. Nyooka unnyooshwe mburura. Unadhani Kaska wote mburura; subiri mkutano wa kampeini HAPO ARUSHA ndo utaijua C C M.
Yero sebei, ahahahahah Magufuri kwa raha zake, YERO YERO Amka
Bavicha wa Kaskazi kwani hamjui au mnajifanya hamnazo. Ni kweli angalia top 4 hapo kwenye High table wote kaskaz sijui madhehebu, ahaa nayo wako sawa nimeambiwa hapa, du Mungu tunusuru kuna kitu hapa si haba. Yule Dr wa dhehebu fulani katimuliwa kiaina shabashi siasa za Bongo majanga. Halafu...
Kwa hiyo mlitaka Polepole hasimchane Lowasa kama ana kashfa ambazo nyie bavicha vichwa vya panzi milkuwa mnamchana nazo mwezi mmoja uliopita. Ama kweli mbururra haaminiki.Sasa hivi mmesahau mlivyomdhalilisha Lowasa kwa miaka 8. Ndorobo nyie. Hivi mnadhani Lowasa anawajua nyinyi mbigiri? Angalau...
Bado Lowasa ana damu ya CCM na isje shangaza kama Mungu atafanya maajabu Lowasa akawa Rais watendaji wakuu wote watakuwa wametoea CCM na hapo wanaojiita ukawa ndipowatakuw wameula wa chuya. Nasema hivi kwa sababu taka usitake marafiki wa Lowasa wengi wako CCM NA UKAWA HANA RAFIKI HATA MMOJA. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.