Huwezi kuelewa kama hujawahi kuishi huko...Mwanga Huwa wanapata bidhaa nyingi kutoka Same mfano ni huduma ya vyakula na Afya....kumbuka pia Same Inailisha Wilaya ya Simanjiro kupitiamji mdogo wa Hedaru.
Zifahamu wilaya 5 kwa uwekezaji na biashara kanda ya kaskazini....Kilimanjaro, Arusha, Tanga na Manyara.
1. KARATU. Hii ipo namba 1 sababu kuu ni kiungo cha utalii kwa nchi ya Tanzania na pia ni mapito ya barabara kutoka Arusha to Mara na barabara ya Arusha To Maswa.
2. BABATI. Ni mji unaokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.