Yahya muulize Nape alisikika akisema 'Nilitoa hadhari kwa mtu yoyote atayeshiriki kwenye mkutano ule wa Iringa kuwa yatayomkuta hiari yake' sasa basi muulize yeye alilijua hilo kuwa askari wataua? pili na yeye akiwa kama nani hata atoe hadhari ile?
CHANZO ILIKUA EATV KWENYE 5CONNECT
Nape, kama kumehairishwa ni nchi nzima, sasa Zanzibar siyo Tanzania? Basi kama ndivyo kuna baadhi ya mikoa ya bara hakukuwa na upungufu wa vifaa nako ingekuwa vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.