Sasa alaumiwe nani hapo ? Mkulima ambae aliuza vyote bila kujiwekea akiba au mchuzi? Pia nisomo kwa wakulima kukumbuka kujiwekea akiba.Acheni soko liongee bhana.
Sawa kabisa waziri kufanya hivyo itapunguza wazururaji mijini nakuona kilimo kama mgodi. Vijana wanakimbilia mijini ni bora warudi kulima kwa faida. Kuhusu kujiwekea akiba ni mtu mwenyewe apige hesabu zake vema maana hata tusinge uza nje bado kama siyo wakuweka akiba utauza kwenye soko la ndani
Jamani wachagaa ni habari nyingine Mimi mwenyewe nilishanyoosha mikono hawajama wakombali sana kwenye kila eneo, nilikuwa najiuliza kwanini wapo Sana kwenye maofisi ya serikali na hata sector binafsi? Nikagunduwa waliwekeza sana kwenye elimu. Ukitafuta watu kumi wenye vyeti vya fani yoyote kati...
Ila na sisi watanzani ni watu wa ajabu sana inashangaza kuona mtu amelima shamba la mahindi kandokando ya ziwa Victoria mita kumi tu kutoka ziwani mahindi yamekauka ati nae anasubiria mvua! jamani kweli umaskini labda ni asili yetu,tutaitukana serekali lakini IQ yetu inamashaka.
Mama tembea mama ,kwanza nimegunduwa wewe inaweza kuwa una element za kichagaa maana wachaga wapo kila kona ya dunia wakisaka noti wanaokwambia unatumia pesa nyingii wengi wananongwa wanazojuwa wenyewe, tena nashangaa wanaotupa vijembe wanaume ambao wengi wao hutoka majumbani mwao iliwarudi na...
Weweee! Usitufananishe na Kenya sisi, hapa hatuna mambo ya ukabila, kwani waziri akiwa wakabila au kanda yako itakuwaje. Piga kazi jombaa achamambo ya ukanda
Bunge lipi? Ila Mungu akitaka kukulipa ubaya wako atakusababisha upige hata honi mahakamani ili shuluba yako ianzie hapo, napatashida kuelewa nini kilisababisha ndugai aseme yale ni Mungu alionamuda wa hukumu yake umetimia. Mungu wewee?uhimidiwe.
Kitendo chakutomliipia lisu matibabu ile pekee nilaana,na Mungu lazima akuadhibu hahapa duniani, naimani hata mama aliumizwa na ubabe pamojana ukiukwaji mkubwa wa katiba bila kujali.Kwali Mungu wewee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.