Mh! Mchungaji kutamani hadi Bible inamdondoka, kujiuliza ni jinsi gani ungempata mrembo tena ukiwa kanisani, binti kaja tubu ukabaka tena ulikuwa mchungaji. Wewe hukuwa na wito wakuwa mchungaji kwani ulikuwa ni mchungaji wa mshahara tu, unatamani kondoo wako? ukamtafuna!! lol akakimbia, huyo...
Wengi wanaishi sehemu zenye ubaridi sasa damu nayo ndo inaendana na mazingira, hebu fikiri mtu anakaa katika sehemu ambayo barafu inadondoka toka juu maisha yake halafu unategemea aendelee kuwa na damu moto? Hata kama mwili una constant degrees of centigrade lakini too much always ham full...
Mkuu upo Sirius? Hebu endelea kutujuza tafadhali, sababu ya kuhamasishana ili kuvamia nizipi? Wanaopeleka mashtaka mapya pia hawaruhusiwi? Wanaotembelea mahabusu wao pia hawaruhusiwi kusogea? Update please?
Nguvu kubwa haitakiwi katika mambo madogo, nasikitika sana kusikia haya mambo, Police hawana budi kuwa rafiki wa raia lasivyo mambo yaajabu kama haya yanaweza tokea nakuharibu taswira ya nchi yetu. Jeshi linatakiwa kuwa rafiki mpendwa, kimbilio la haki na sivinginevyo.
Hawa wadudu wanapatikana katika mwambao wa ziwa victoria, huko ndiko humea, wanapokuwa na mabawa husambaa kimakundimakundi pembezoni mwa ziwa, radi ikipiga huruka juu sana kwahofu na husafiri umbali mrefu ili kutafuta sehemu iliyo salama, basi ikitokea wakaona mwezi unaangaza, huruka kuufuata na...
Mkuu pole sana na hilo lililokupata, chamsingi hapo kama suala linaukweli wowote, tumia hekima ya hali yajuu. Mosi, mkeo kashindwa kuilinda heshima yako; Pili mkeo kavunja uaminifu kwakutembea na shemeji yako hiyo nidharau kubwa sana pia nakupongeza kwa uvumilivu, ingekuwa mimi tungekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.