Habari,mpenzi wangu amekua akilalamika kuumwa na tumbo kila mara baada ya tendo,tumbo hua linamuuma chini ya kitovu.she iz 22yrz na wala hatutumii nguvu kwenye tendo,some times goli moja tu na saizi ya uume wangu ni kawaida sana.
Nashukuru sana ndugu yangu,mimi ni mwanaume bt aina ya ultra sound siijui bt niliambiwa kabla yakupma lazma mkojo unibane sna ndio nipme, doct kaweka mafuta then akaweka mashne chini ya kitovu after 2mts tayar.bt mashne haikutembea tumbo zma.
Hivi karibuni nilikua nasumbuliwa na maumivu ya tumbo nikahisi naweza kua na uvimbe tumboni,nikaenda lugalo hosp wakanifanyia ultra sound kwa kuweka mashine chini kidogo ya kitovu then badae majibu yakasema sina tatizo.lakini namna ya upimaji ndio imenitia shaka coz mm nilizani mashine...
Hivi inawezekana kwa daktari kuweza kung'amua kua unamatatizo au huna tatizo la moyo kwa kufanya vipimo vya damu tu na kusikiliza mapigo yako ya moyo?kama ni kweli ni vipimo gani hvyo vya damu ambayo atavipa priority kwenye kung'amaua tatizo?naomba kuwasilisha.
Nashakuru sna ndugu yangu stephot nitafanyia kazi ushauri wako MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI.BIGBRO ndugu yangu nimetoka hosp leo vpimo vya awali ndio vmesema hvyo na kama binadamu nimestuka ndugu yangu.
Madaktari bingwa hospitali ya muhimbili wametangaza kuanza mgomo rasmi mchana huu kwasababu yakuelemewa na kazi na kudai kua hawatoweza kufanya kazi bila ya wasaidizi.SOURCE ITV HABARI ZA SAA.
Watanzania wananikumbusha enzi za ludism pale ludists walivyokua wakidestroy machines wakiamini machines ndio adui wao wakati adui wao walikua ni capitalist ambao ndio waajili wao.WATANZANIA HAPA ADUI YETU NI SERIKALI NA SIO MADAKTARI JAMANI,DAKTARI HANA KOSA NA SISI HATAUNA MKATABA NA DAKTARI...
Mbunge Kangi Lugola wa CCM amesimama leo bungeni na kuomba muongozo kwa naibu spika kuhusu tuhuma alizozitoa Mustapha Mkulo kua kamati ya mashirika ya uma imekula rushwa kutoka CHC. Lugola amemtaka Mkulo kutoa ushahidi au kuomba radhi na kufuta kauli yake bungeni.
Nilimshangaa machali siku ile kufananisha uteuzi wa mbatia kua mbunge na uteuzi wa prof baregu kua mjumbe wa tume ya katiba.machali ovyo kwelikweli wewe!nilidhani kukaa kwako jirani na kina wenje,mnyika na mdee pale mjengoni utakua na itikadi za kusimamia haki na ukweli kumbe pumba tu.
Machali nilikua namkubali sna,kuna kipindi nilijua ni mbunge wa chadema badae nikagundua ni nccr nikasema kumbe nccr bado kuna majembe,he!ckuamini namna ambavyo akitetea ujinga live,nimepoteza imani na MOSES MACHALI kabisa hata kusoma upepo ameshndwa?safi sana kamanda WENJE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.