Pole sana kaka ila maamuzi yoyote utakayochukua jitahidi iwe ni baada ya kutafakari kwa kina. Kwasababu unaweza kumuacha huyo kisha ukapata mwengine ambaye historia yake ni ya kutisha lkn huijui.
Mwisho wa siku ukahiyari ungemsamehe huyo wa kwako mliozoeana na akatubu kwa dhati ya moyo wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.