Hii nusu fainali ilikuwa tamu sana huku kipa wa England Gordon Banks akiwa nyota wa mechi kwa saving alizofanya hasa ile aliyo jipindua na kusave bicycle kick ya Pele na wakati alisha shangilia goli
Nakummbuka nikiwa UAE miaka ya 1998-2002 alikuwa naye akiwa Sharijah, UAE. Kutokea kipindi hicho sina taarifa zake na hata hii ya Yanga Bwanga kutangulia mbele za haki nimefahamia humu JF sports.
Aluu Ally alitokea Morogoro na alichukuliwa na Simba akiwa anasoma kidato cha tatu ktk shule ya Forest hill.Alikuwa zao la umiseta na klabu ya Jogoo na alipojiunga na Simba 1976 aliendelea na masomo yake pale Azania.Alipomaliza kidato cha nne alitimkia zake Uarabuni ambako kipindi hicho kilikuwa...
Victor stantclaus, Tambwe Leya,Raul Shungu,Rudi Guntendorf, Micho, Plujim(Yanga),/Nabi Camara,Samsorov,Edil Silva, Popadi, Sianga, Patrick Phiri,Omog, Lenchentre na Patrick Aussem( Simba)
Umeanza lini kuishabikia Simba maana kama hujui kuwa Simba kuna kipindi cha misimu mitatu mfululizo ilitumia wachezaji vijana wakititokea Simba B kina Mkude, Ajib, Singano,Mwanyika, Ndemla,Lucian,Isihaka Hassan, Miraji Athuman na kwa kipindi chote Simba ilikuwa inafukuza kivuli cha kupata...
Kusema ni rahisi lakini kutenda na kutimiza malengo itabaki ni ndoto za alinacha.Simba imekuwa full established????? wakati kila anayeingia madarakani anafikiria kupiga pesa na siasa nyingi.Ukweli usiofichika kuna genge chafu linapigia mahesabu ya kuzipiga 20 bilioni kwa masilahi yao binafsi na...
Huu wimbo wa brand...brand ni kujidanganya na kuficha udhaifu.Neno brand limesaidia nini hivi vilabu ambavyo hata michango yenyewe kuchanga ni shidaaaa.kulipia kadi ya uanachama shidaa.Kama brand inayopigiwa debe, basi Yanga wangefikisha ktk harembee zaidi ya bilioni 3 lkn wameambulia milioni...
Ndio ukweli wenyewe wala hakuna cha kumung'unya maneno.Una Hisa 51% halafu mali ulizonazo ambazo hazifikishi mtaji hata wa milioni 10 hutaki kucontribute basi ni uenda wazimu huo na ndio maana Manji alisepa zake.
Hoja zako hazina mashiko na ni husuda tu inayokusumbua.Mchakato wa mabadilko ndani ya Simba ulichukuwa takribani miaka miwili na uliridhiwa na wanachama kwa uwazi bila usiri na ukapigiwa kura tena chini ya usimamizi wa jaji anayeheshimika Thomas Mihayo na kwa baraka za Serikali tena ya awamu hii...
Anzeni nyie Yanga kujitoa... Uone Kama kuna watakaowafuata. Mlizoea enzi za Malinzi na Manji basi mnajiamanisha kuwa hata TFF ya sasa inafanya madudu ya TFF ya Malinzi.
Kuna timu ya 1974 ilizitoa timu ya Lesotho, Green Buffalo's( Zambia) Heart of Oaks ( Ghana)na ikatolewa kwa mbinde na Mehalla El Kubra ( Egypt)... 1.Mambosasa 2.Shaban Baraza 3.Mohamed Kajole 4.Athuman Juma 5.Choggo / Aloo Mwitu 6.Khalid Abeid 7.Willy Mwaijibe 8.Haidari Abeid 9.Michael Sentala/...
Makipa waliotamba miaka ya 1970-1980
Elias Michael-Yanga
Kitwana Manara-Cosmo/Yanga
Muhidin Fadhili-Yanga
Patrick Nyaga-Yanga/Pan Africa
Mbaraka Salum -Simba
Hassan Mlapakolo -Simba
Greyson Mwamaja-Simba
John Semainda-Simba
Omary Mahadhi-Simba
Hemedi Mussa-Reli Moro/Tanga
Athuman...
Hukumu ilikazia kwenye nini hasa?....medical report nilivyoilewa inasema the hymen and anus evidence claimed were intact?... Ushahidi wa watoto ni wa kukariri kama ngonjera. wanasheria tuelimisheni.
Enzi za nabii Lutu zinarudi... sasa ni majike kwa majike na sio wanaume kwa wanaume.... Sodoma na Gomorah. Hakika sijui adhabu yake itakuwa nini... Mwenyezi mungu alinena enendeni mkajaze ulimwengu lkn badala ya kufanya hivyo inakuwa kinyume na maagizo yaliyotolewa na mwenyezi mungu....inasikitisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.