Kabla ya kutoa conclusion kama wagombea wa UKAWA kupitia CUF wananunuliwa au la, kwanza fanya analysis katika majimbo matano ambayo CCM tayari ishapata ushindi kabla ya uchaguzi, majimbo mangapi yalikuwa allocated kwa CUF, Mangapi yalikwenda CHADEMA na Mangapi yalikwenda NCCR na NLD? Otherwise...
Nukuu ya mwanafunzi wa IMTU.
"for a while our university administration imekua na matatizo..iliwahi kutokea miaka ya nyuma scenario kama hiyo ambapo mwanafunzi alieonekana na mkono mtaani of which hairuhusiwi hata kutoka na groves inje ya hicho chumba..sasa semester one ilimaliza kutumia hizo...
Hongera sana Mungu akujaalie upate mtoto mwema! But nilikuwa nauliza kidogo, Umepata ujauzito huo naturally au kuna dawa umetumia Dawa gani? Kuna dada yangu naye ana tatizo hilo hilo la PCOS , angependa nayeye apate ushuhuda wako na ushauri wako!
Regular exercise, Food diet and use of Metformin simultaneously may return your menstruation to Normal! If that failed then "Laparascopy Ovarian Drilliang" is recomended !
Ni kweli Mkuu CDM hata viongozi wake wanapangwa na Mungu
M/Mwenyekiti : Mchungaji Natse
Katibu Mkuu: Padri Slaa
Naibu Katibu Mkuu: Mchungaji Msigwa
HALELUYAAA...
Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar Maritime Authority ZMA ni Mamlaka iliyoundwa kwa sheria No. 3 ya mwaka 2009 ambayo pamoja na kazi nyengine inasimamia utekelezaji wa Sheria ya usafiri wa Bahari Zanzibar ya mwaka 2006 (Zanzibar Maritime Transport Act 2006).
Sheria ya Zanzibar Maritime...
On this one all Tanzanians who cherish the countrys independence must stand together with President Kikwete in politely telling the US Senator that the decision by the Zanzibar authorities to reflag Iranian tankers is a legitimate commercial act undertaken by the Zanzibar authorities who have...
Majungu tuu na fitina ilovuka mipaka! Kama una ushahidi kwa nini usipeleke kunapohusika ili hatua za isheria zikafuatwa au unatumiwa na mshindani wake wa kibiashara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.