Sababu ni usalama wa watumiaji wa eneo lile imagine wangeruhusu na pale panaongozwa na taa wengine wangeshuka pale wapige picha, wengine wangeendesha taratibu au kusimamisha gari zao ili wapige picha ambapo sio matumizi sahihi ya daraja lile na pale no one way so hapahitaji jum ktkt
Wanaume tuache hizi tabia kwani women conservation inaanza na mtu mmoja mmoja sasa kila mwanamke mkimfanya hvyo mnategemea tuje tue na wanawake wa namna gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.