Habari wana jamvi
Naiza viwanja viwili vyote kwa ujumla ni sq750, vimepimwa na vina hati kubwa.......vipo nzuguni Dodoma
Bei 7,500,000/= vyote
Contact 0655517964
Habari wakuu
Nauza camera kali details hizo hapo chini
NIKON D5300
BEI 800,000/=
IMETUMIKA KWA MIEZI 3 TU
INAKUJA FULL BOX BILA LENS
LAKINI UKITAKA NA LENS YA 18-55mm UNAONGEZA 200,000 KWENYE BEI ILIYOANDIKWA HAPO JUU
Battery life: 600 shots
Camera: 24mp
Lens:18-55mm
Max ISO: 25600
location...
Crown
Bmw series 3 ya mwaka 2006
Mercedes Benz c-class ya 2006
Kama utakua na moja kati ya hayo njoo inbox tuyajenge.....
NOTE: offer ni ya uchumi wa kati 10m, lakini ntaongeza kama gari ni kali
Kuna jamaa yangu amejenga hotel yake dodoma kali tu vyumba 10 na lowest ni chumba cha 55,000/=, na jamaa mwili wake ni mdogo mdogo hivi...basi juzi walikuja watu wa ccm kwenye teuzi zao wakafikia pale, kama bahati na jamaa yangu alikua pale hotelini kavaa pensi na tshirt anatoka nje tu akaitwa...
Alikuja mpumbavu wao mmoja juzi hapa kahama anasema tujiunge akachora na mchoro wao akasema tutakua tunapokea 11,000,000/= kila mwezi bila jasho.....nikamuuliza yeye kafikia hatua hiyo akasema ndio, wakati hapo kaja na bodaboda wamekula mshikaki na mwenyeji wake.....
TRA ubunifu sijui ndio umefika ukomo, instead ya kutengeneza mazingira mazuri kwa walipa kodi, wao wanataka kukomoa......inamaana sasa hivi hata kile kidogo ambacho walikua wanapata hawatopata tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.