Nimefurahi sana kuona mada kuhusu huu mmea, nakumbuka miaka ya 90's tuliwahi kuutumia nyumbani na mama alisema kuwa aliutoa kwa bibi. Mama ameshafariki na nilitamani kweli kujua huu mmea chapati ni nini haswa lakini kila nikimuuliza bibi anasema haujui.
Nimefurahi ku
Naona mnaendeleza kampeni ya chuki dhidi ya Arusha. Watu mnajua kabisa sababu ya maendeleo mahali fulani ni serikali halafu mnakaa kupondea mkoa. Ok mfano ujenzi wa fly overs train ya umeme zilizopita Dar unafikiri Arusha au mikoa mingine nao hawapendi? It is just a matter of priorities and...
Well said! Arusha imetengwa sana kwenye maendeleo hasa miundo mbinu. Imagine mkoa wenye vitega uchumi vya kutosha halafu miundo mbinu ni yaajabu kabisa. Bus station za Arusha zinasikitisha. Inabidi serikali ikumbuke Arusha katika hili, irudishe fadhila
jamani juzi kati nilikuwa saloon fulani ya kike mara akaingia dada mmoja akkaanza kumwadithia mwenziye.... hee shoga mwenzangu nimenuniwa huko si nimekosea kutuma meseji ya hawara wangu nikamtumia bwana angu, sasa mimi nashindwa kuelewa hivi ni sifa mtu kuwa na hawara halafu unajisifia mbele za...
it does not matter what ever she say is just like nonsense beyonce is a real star 4 rever i will love her wherever she is on the stage she put it on fireeeee:target:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.