Search results

  1. P

    Nyomi ikielekea leaders

    Mungu ailaze Roho ya marehemu Kanumba mahali pema peponi Amina !
  2. P

    Makongoro Nyerere Kugombea Arusha Mjini

    Arusha mjini ni mali ya Chadema Magamba mnajidanganya bure ! mtapata aibu kubwa sana.
  3. P

    wanawake kuwanyima unyumba waume zao kama adhabu ni sahihi?

    mimi naona ni sahihi bcz ile ni starehe inahitaji wote muwe katika hali ya furaha ili muweze kulifurahia tendo lakini kama mwenzio amekuudhi hakuna sababu kufanya hivyo wakati mwenzako hana raha.
  4. P

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    hawa magamba ni bure wanajisumbu Arusha hawatapata kitu, hiyo hukumu inaonekana kutengenezwa hukumu ilishajulikana kabla ya kutangazwa.
  5. P

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    hawa magamba ni bure wanajisumbua hata wafanye nini Arusha mjini watachukua watambue kwamba hapa hawana chao tena.
Back
Top Bottom