Sasa hivi kuna kikao kinaendelea hapa H/Shauri ya Meru cha Madiwani wa sisiem. Kinaitwa 'Kikao cha chama' ambacho hufanyika kabla ya Full Council. Cha ajabu ni kwamba hulipwa Posho ya 'kukaa' kikao cha chama. Malipo ya posho hizo hulipwa na H/shauri (haipo kwenye bajeti). Je! haya ni matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.