Zzk ni ndumilakuwili wa nguvu.ameshanunulika huyo hamna lolote yeye mwenyewe amesema alifika jana usiku dar -es-salaam sasa kwa mwanaharakati wa kweli hivi ni wa kushindwa kuhudhuria asubuhi?mijitu yenye bei inaboa sana.yahya wewe ulikuwa unaumwa siku hiyo sidhani kama uliwasiliana na zzk ila...
Big up mwanakijiji tusihangaike na walionunuliwa na upande wa pili kutuhujumu.
Ni mpuuzi,mshamba,mbaguzi.ndumilakuwili amenunulika kirahisi sana.atashindwa na atalegea.
Hatafanikiwa kamwe.hilo ni libaguzi likubwa.lizomewee
zzk ni msanii wa nguvu.ni bonge la ndumilakuwili.watu tulishamgundua siku nyingi tangu aanze kuunga mkono ununuzi wa mitambo ya dowans.yeye mwenyewe aliahidi atawataja asilaumu watu sasa hivi.mbona dr slaa mwembeyanga alitaja?kwani kuna ugumu gani yeye kutaja wakati aliahidi au...
wana jf hili jamaa limejaa sana udini.akili yake ni maa.........viiiiii matupu lipotezeeni.limefilisika kimawazo mimi mwenyewe muislam safi tena sala tano hilo sijaona lijitu kama hili.mods tafadhali lifungie
zzk is a profesional perpet.ni ndumila kuwili wa nguvu.hata ccm wanajua nini kinaendelea na jamaa yao wanaomtumia.atawadanganya watu fulani wakati fulani lakini hawezi danganya watu wote wakati wote.kwa undumila kuwili jamaa ni noma.hana lolote anawachezea watanzania kamchezo.tunaojua siasa...
kusoma sana siyo kukomboka kiakili.taifa letu limefika hapa sababu ya ma profesional perperte kama kitila na zitto.hawa majamaa wawili kila mwanacdm makini anajua ni mandumila kuwili.ni vigumu sana mimi kufikiri sawa na hawa jamaa.wasilazimishe tukubaliane na ujinga.hivi nani asiyejua kuwa zk...
Watanzania wenzangu naomba mnisaidie Ujana unaishia miaka mingapi kwani Watanzania wengi hususan Wanasiasa wamekuwa hawataki kutoka kwenye hili daraja na siku zote wanang'ang'ana kwenye Ujana.
JK mwaka 2005 akiwa anagombea Urais alijinadi kuwa ni Kijana wakati akiwa na miaka 55.Watu kama akina...
Hii thread ni nzuri sana lakini ina pungufu moja.Kichwa cha Thread kinasema mwanasiasa bora kijana 2012 wakati ukiingia kwa ndani inasema mwanasiasa bora kijana ndani ya miezi sita.Napendekeza tuwe tunachagua kwa Interval ya mwaka mzima hasa ukizingatia Mwaka wa Kiserikali unaanzia julai na...
DR KITILA MKUMBO NILIKUWA NAKUAMINI SANA LKN SASA NAHISI NAWE HUNA LOLOTE BALI NI SHUSHUSHU ULIYETUMWA CHADEMA KWA KAZI MAALUM YA KUUA CHAMA.DR WEWE NI MSOMI MBONA UNAPOZUNGUMZIA SUALA LA SHIBUDA UNAKUWA MNAFIKI WA KUCHUKUA BAADHI YA MANENO NA KUACHA MENGINE.HUNA TOFAUTI NA MAMLUKI JULIANA...
You are warmly welcome to chadema.tuko pamoja hakuna kulala mpaka kieleweke.
People's...........................................
Power...............................................
Zitto is a profesional perpete!
Watanzania mtakuja kumuelewa zitto tayari ameshamaliza kazi yake cdm.anauma na kupuliza lwa kifupi ni ndumilakuwili.after a shorttime lazima atafanya kituko kingine cdm.professa safari for presidency 2020
Bila shaka wewe ni gamba la nguvu au mwana cuf uliyedandia siasa.niko cdm tangu 2007 nakijua chama changu vizuri!eti zitto ni zaidi ya chama.tuombe mgombea binafsi apitishwe tuone kama zitto bila hao mafisadi akina rostam ataweza fanya lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.