Habari ndg great thinkers!! Nimeona mkeka mpya wa mama! Nimeutafakari kwa kina! Hakika kila Rais anapenda kufanya kazi na team anayoiamini! Mengine tumuachie Mungu!
Kwa Leo mchango wangu ni kuhusu Herry James! Hakika anafaa kuwa Mwenezi CCM (T) kwasababu zifauatazo:-
1. Ana ushawishi mkubwa...
Hatari sana! Ugonjwa wa Rais Magufuli ulijulikana zaidi kwa kina Tundu Lisu, Kigogo nk huku Makamu wa Rais akiwa hajui lolote!! Tena Rais akiwa amelazwa Hospitali ya viongozi! Wenye akili wazitumie vizuri kufikiri na kutoa majibu!! Kilichompata Rais Magufuli kinaweza kumpata yoyote! Ni vyema...
Huyu mnyama amewindwa wapi? Usije kuta ni kwenye Hifadhi zetu. Anayejua afafanue. Tanzania ni kubwa.
Aidha, Nashauri mambo mawili; Sheria ya uwindaji ipitiwe upya ina mapungufu mengi na pili kuunga mkono juhudi za Royal Tour na Kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na inaendelea kufanywa na Rais...
Wapo watu wenye nia ovu walipenyeza taarifa nyingi za uongo na zilizokolezwa chumvi ili wamkamate mama na wamfanye mwanasesele! Mama akapelekewa orodha ya maadui wa kuchonga na akajazwa hofu! Kumbe wao ndio wenye nia ovu!!!!
Mungu ni mkubwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Mama anaona na...
Hakika ni MAMA WA TAIFA. Licha ya utendaji uliotukuka:-
1. Ni Rais wa kwanza mwanamke Tz, East Africa na nchi nyingi duniani
2. Ni Makamu wa kwanza mwanamke Tz
3. Ni Mkt wa kwanza wa Chama kikubwa Africa yaani CCM nk
Apewe maua yake! Mama wa TAIFA! By the way kuna watu wamejipa ushangazi wa...
Hakuna anayekataa mitihani. Sheria iliyoanzisha mitihani hii ipo na imekuwa ikifanyika miaka yote.
Je! Sheria ya kubadilisha mitihani hiyo na kuanzisha Pre na sio Post ndio mjadala.
Pia, zamani ilikuwa huanzi Internship mpaka UMEAPA! Sasa leo Internship unaanza bila kiapo! Una Linda’s na...
Usichanganye madesa. Hii ni field ambayo watu wanaenda ku deal na Uhai wa watu.
Kwenda Intern ni kama tayari wewe ni Daktari kamili. Ndio maana Sheria iliwataka waape ndipo waende intern. Je! SHERIA IMEBADILIKA? Nani kaibadili? Kwanini? Je! Ilipitiwa na mamlaka husika na stakeholders. Tupe...
Mkuu hivi mtu anafanyaje mtihani na kuwa Daktari wakati HAJALA KIAPO?
Zamani ilikuwa lazima graduation ifanyike WAHITIMU WAAPE! Hapo ndipo mtihani unakuja.
Leo mnawataka wahitimu wafanye mtihani waanze Kazi ya kuhudumia watu bila kiapo? MMESAHAU UDAKTARI SIO TU SHULE NA MITIHANI NI PAMOJA NA...
Hello Home of Great Thinkers!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa...
Kiuhalisia huu mradi kuna watu wametafuna hela wakachongeana na sasa tunaona fedha za wanachama wa NSSF zilivyotafunwa.
Nashauri Rais wetu kipenzi Mhe. Samia Suluhu Hassan awashughulikie wahusika wote uongozi wake usiingizwe au kuchafuliwa kwa ufisadi!
Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imejaza...
Nimemsikia kijana anaitwa Mlaki, nadhani ni mtoto wa Mhe. Rita Mlaki
Amelezea uwanja wa Chato ukitumika vizuri mfano kusafirisha madini, samaki nk
Nimeona sijui ni nani ameelezea madaraja yana muda fulani wa ukomo ambapo unatakiwa kufanye reinforcement au kujenga jipya kama wanavyofanya sasa...
Spika akemee hili!! Nauona mgogoro wa dini ukilinyemelea Bunge la JMT. Upepo wa Mashariki ya Kati unatusogelea tuwe waangalifu sana ndg zangu.
Wakristo wanaamini kuwa kupitia Jina la Yesu wafu wanaweza kufufuliwa na hii ni ahadi ya Mungu wao. Sasa kumshambulia Gwajima ktk imani ni kuwashambulia...
Habari wana JF,
Leo nimeota ugomvi ukitokea mahali sababu mume amefiwa na mke na kwa mujibu wa dini yake akaoa/anaoa mke mwingine. Hata hivyo mambo sio mepesi ingawa yote yamefanyika kwa MAPENZI YA MUNGU.
CHANGAMOTO:
- Mume anavaa pete ya mke wa zamani mkono wa kulia na mkono wa kushoto...
Daaa! Mungu amsaidie mama yetu kwa kweli.
Akibakiza aliowakuta kutoka kwa JPM ni kosaaa!
Akiteua wapya nalo ni kosaaa!
Tumsubiri mama 2025 ndipo atakuwa na timu yake. Hapo ndipo auliizwe masuala ya jinsia nk
Kwasasa muacheni mama yetu kipenzi Mhe. Samia Suluhu Hassan achape kazi kwanza mambo...
Daaa! Mungu amsaidie mama yetu kwa kweli.
Akibakiza aliowakuta kutoka kwa JPM ni kosaaa!
Akiteua wapya nalo ni kosaaa!
Tumsubiri mama 2025 ndipo atakuwa na timu yake. Hapo ndipo aukizwe masuala ya jinsia nk
Kwasasa muacheni mama yetu kipenzi Mhe. Samia Suluhu Hassan achape kazi kwanza mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.