Tafuta hela kijana...wote wako hivyo hivyoo!! Naona hujataja kuombwa hela ya saloon, mafuta ya gari ,pocket money,Kodi na ushaanza kupiga yowe. Narudia Tafuta hela..!!
inasikitisha..! Na kama wewe ni mfuatiliaji wa movies za kizungu..utagundua movie nyingi zinazotoka miaka ya karibuni karibu zote zina scenes au stories za ushoga..
wanaume wengi Hatutoi hela bila kuombwa..! pia usilete hadithi za kumkopa,hakuna kukopeshana wapenzi.wewe omba kistaarabu ikiwa bahati yako shida zako zitamalizwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.