Umeandika story ndefu ila ingekuwa fupi na yenye maana kama ungekumbuka kuwa Siasa zimepigwa stop hadi Uchaguzi 2020.
Una hoja ila next time umiza akili.
Katika watu ninaowaheshimu humu wewe ni mmoja wapo. Kama hii kitu imetoka moyoni mwako inabidi wengine kujitadhmini pia kwa kina.
Umefika wakati wa kuweka siasa za mihemko pembeni na kuangalia maslahi ya Taifa kwa ujumla. Haya yanayotekea lieo ni mwanzo wa kuelekea sehemu mbovu.
Ahsante..
Faiza... Najua akili yako ilipo sasa unadhani tunabishania Siasa. Acha kufanya kila kitu kwako siasa. Unachukulia mambo mengi juu juu tu ndio maana waafrica hatutaendelea sababu ya kutokujielewa kwetu. Wewe Dadangu hujielewi. Kwaheri.
Faiza. Tumia akili kidogo. Wengi wanaochangia sasa hawafikii huo uzee na la huachishwa kazi mapema kabla ya uzee. Hapa kinacholalamikiwa na wananchi wengi ni kuwe na utaratibu wa kufidia kipindi mtu hana kazi au vinginevyo sio kama mtu umeacha au achishwa kazi na umri wa miaka 38 basi ndio...
Dada sizungumzii siasa hapa. Mimi mwenywe ni CCM. Ila mipango na sera za sasa sio rafiki kuita hilo ni fao la uzeeni. Mbona wengi wataalamu kuliko wewe wameelezea humu jinsi ilivyo? Kinacholalamikiwa ni taratibu nzuri za kuwezesha fao liwe na maana yake sio fao kwa hali halisi iliyopo sasa...
Kuna haja ya serikali sikivu ya CCM kukubali kuunda timu ya wataalamu wa sekta zote kutoka taasisi mbalimbali kama ilivyokuwa katika katiba mpya, ili kutengeneza mpango kazi wa nchi kwa miaka 20 labda mbele. Ili kila atakaeshika dola akubali kuendeleza plan hiyo. Vinginevyo tutaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.