Bikira maria alikuwa anakaa Tanzania?kila sehemu ina mavazi yake kutokana na mazingira sio mnaiga tu ilimradi waliowaletea dini huko kwao ndo wanavaa hvyo..
makanzu,baibui ni mavazi tu ya sehemu yalipotokea ni km mmasai na lubega
Mkuu mtitu aliyebeba mwili na mwenye kampuni ya game 1st quality ni watu wawili tofauti.
Na huyo tajiri wa 1st quality sio muigizaji na huwa haonekani,wengi hatumjui
Tatizo wala sio uchaga,tatizo mmekuwa gumzo mjini kwa kujimaliza mfululizo kisa mapenzi..ndómana watu wanawashangaa na wala sio mna heshimika wala nin..Wakati nipo sekondari mtu akiwa mjinga mjinga wa mapenzi,analilia mwanamke au kupelekeshwa watu walikuwa wanapenda kusema "jamaa mchaga wa K au...
Hakuna Muislamu anayeweza kusifu kazi ya mkristo hata kma kamuokoa kwnye mdomo wa Simba.Ndo wameumbwa hvyo kuwa na nongwa na wivu kwa kila atendalo mkristo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.