Wenyewe wanasemaje?
Habari za leo Friends of Bukoba.
Hii hapa ni video ya watetezi wa Mkoa wa Kagera zidi ya hujuma za Mkoa wa Chato.
Tunawashukuru wote walioshiriki ikiwa ni pamoja na:
(1) Mh. Bernedetha Mushashu (Mbunge viti maalum)
(2) Mh. Charles Mwijage (Muleba Kaskazini)
(3) Mh...
Hii taarifa ni upupu mtupu, hoja ni moja hapa
Isssue sio nani alipeleka majina ila ni je, utaratibu wa chama wa kuwapata wabunge ndani ya chama ulifuatwa? Kama ulifuatwa hakuna kosa na ni wabunge halali na kama haukufuatwa hata kama John Mnyika amepeleka majini ya chini ya meza KAMATI kuu...
Ni juzi tu pale Bukoba mgombea urais CCM aliwakusanya viongozi wa dining hapo Gymkhana akiwemo Askofu wa Diosisi ya Bukoba, Aberenego Keshomshahara na alitoa salam za kiroho.
Inakuwaje nongwa kwa mgombea mwingine?
Pole sana.
Jamani watu kama misukule vile wamesombwa usiku kucha na malori ya ng'ombe kutoka Karagwe, Bukoba Vijijini, nk. tuseme watu walilala uwanjani.
Hii imejionyesha baada ya hotuba.
Vipi waliokamatwa kwa kutonyoosha mikono ya kukiri kuichagua CCM?
Tutafika hiyo 28/10/2020?
Usiwalaumu DStv ilaumu serikali yako.
Ndo iliyowazuia DStv kwa madhumuni maalum ambayo sasa hv yanakutafuna.
Saa ya "UKOMBOZI NI SASA" slogan ya famous late Christopher Mtikila
na kwa sasa ni "UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU" ukifuata haya hizo missing channels utaziona vinginevyo sahau.
Majina ya wagombea yatatajwa tarehe 23/8/2020 wakati wa kurudisha form za ugombea ni tarehe 26/8/2020.
Bonge la timing hakuna muda wa kukimbilia upinzani.
Kutuhumiwa sio kosa na jinai ni pale tu unapotiwa hatiani.
Iweje sasa ulete mamneno mfu ya mke wa Kaisari?
Zama zile busara ya mfalme ilikuwa inatawala na hatupo tena huko, vingine kila mja akituhumiwa tu nje ya ulingo.
Every body will remain innocent till when will be found GUILTY and...
Jidanganye na ushindi wa mitandaoni na matangazo.
Unajua wananchi wa chini wana nini moyoni?
SGR au flyovers?
Wanayo milo x 3?
Uchumi wa kati umewafikia?
Rais hakuna namna lakini wabunge kama uwanja ni huru na kama sio kama yale mazingaombwe ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, tayari ungekuwa...
Matukio ya kufanya wanaohituhumu CHADEMA wasiaminke ni kama haya hapa chini:-
1. Mbunge Lijualikali - Ameozeshwa kwa Spika Job Ndugai na ana ukaribu sana (kifamilia) na Spika na wasaidizi wake
2. Mbunge Selasini - Ndugu wake wa damu wote walirubuniwa na CCM wakakimbia upizani, Dr. Lamwai...
SISA SIASA
Jamani hojini idadi ya case mpya za CORONA, COVID-19 na jumla imefika ngapi?
Tunashuhudia vifo vingi sasa vya kuzikwa na watu wasiozidi 10 lkn baada ya kuzika umati unakusanyika kuweka mashda ya maua, mchungaji Rwakatare's case study.
Tumeshuhudia (Suspect that's why burial...
Sio kweli kuwa CDM wanang'ang'ania mikutano.
Ikumbukwe kuwa tamko la Mbowe ilikuwa kabla ya katazo la mikusanyiko kwani mpaka jana jioni hata mh. Rais alikuwa akihutubia mikusanyiko.
Mh. Lema alishauri jana kuwa CORONA haichagui na Rais aache mikusanyiko.
Sasa imekuwaje mnashupaa na...
Huwezi kutoa pesa yako wakati ulikuwa kwenye majukumu ya chama.
Sio suala la utajiri.
Kama ni hamasa wamefanikiwa na kukaa Gerezani wamekaa kimkakati na kama hamjui ni sehemu ya sensitization.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.