Maneno makubwa mazito yenye busara na weza kusema kalam yako imetumika tu kuandika lakin ujumbe huu unaweza kua umetoka kwa mfalme wa aman.ubarikiwe ewe uliesema haya uhekimshwe siku zote ewe gamaliel wa jf
Nyumba inapangishwa ipo mbezi kwa msuguli kwa mawasiliano zaidi piga 0784822238.
status: 3 bed rooms 1 master self contained,fenced, full paving.
Kodi 350,000 per month
Nikweli kachangia vzr Sana Leo ameongea kwa uchungu mbunge huyu ila akanifurahisha jambo moja alipoonyesha mafanikio yake ya kutoka familia maskin hadi kua mbunge.naibu nae amesupport Inamaana ukiwa maskin hustahili kua mbunge???
Me sioni tatizo juu ya ccm ilichokifanya no jambo zuri na linastahili kupongezwa maana mabadiliko yoyote ni mchakato ambapo mwisho wake lazima kuwe na matokeo. Binafsi nawapongeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.