Natoa pongezi kwako Mhe.Mwakyembe, endelea kusukuma huo mkakati ili makusanyo ya Bandari yawe halisi, maana hao TRA wenyewe wameshajipambanua wako sambasamba na wakwepa kodi. Ktk mkutano kati ya Waziri wa Fedha na Makamishina wa TRA na Forodha, Makampuni ya Wakala na Wafanya biashara wa...
Radio na magazeti, machapisho ya vijarida pamoja na vipeperushi vina athari kubwa sana katika suala zima la uchochezi na ukiukwaji wa amri aliyoitoa huyu Mkuu wa Mkoa. Lakini pia bado ni kweli kuwa mihadhara ni haki ya kikatiba kwa hiyo kuzuia shughuli hiyo ni kunyonga uhuru wa wahusika...
Hapanaaa', jamaa aaca mchecheto wa kumwagwaaa'''. Umesanya za kutosha,tulia uangalie uelekeo mpya. Awe au asiwe Mama yako''.....umesomeshwa chini ya Dola la sisiem, hebu shukuru Mungu,sisi wengine japo tumekomaa na sisiem kwa miaka lukuki na hatuna hata chapaa bado tunaaminia ONE day yes
Azimo la Zanzibar ndiyo lililoanzisha Ufisadi, Mwalimu akasema "waliporudi kimya kimya toka Zanzibar wenye akili tukajua Azimio la Arusha ndiyo limevunjwa":noidea::noidea:
"Dua yangu", siku ya ubaya isiwe leo na Mungu umuepushe Tundu Lisu, fitina na hiana za waliojaza myoyo yao kwa uchungu kama shubiri zikarejee na kuwa ijara yao na kizazi chao mapaka watakapojua kutenda haki.
"Moyo wa Ukombozi" ni fikra ya kuwafikiria wengine,ni kujitolea leo ili kesho watu wengine wanufaike. Hebu tuamke, tuwafikirie wengine wa kizazi kijacho,tusipothubutu leo basi tunachofanya ni kuwalundikia maumivu na madeni yasiyolipika kizazi kijacho. Haya shime'', zamu hii ni yetu baada ya...
Wakati ikiwa ni bayana kuwa maafisaa wapatao (30) therathini wa Idara ya Forodha/yaani KAZI TAMU/Customs wamekabidhiwa barua za kusudio la kufutwa kazi, bila shaka inavuta zaidi kutaka kujua kuna nini kinaendeka humo nani ya KAZI TAMU???.
Kanumba amewahishwa kuzikwa, mimi napendekeza ashitakiwe kwa kuonyesha mfano mbaya kwa jamii yetu, ametuharibia sana watoto wetu, na hata jamii kwa idadi kubwa ya Watanzania na Africa Mashariki na ya Kati, tulimwamini na kumpa fursa na heshima ktk sebule na vyumbani mwetu,halafu imekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.