Search results

  1. A

    Ukikosa kimulimuli...

  2. A

    Uchaguzi 2020 UCHAGUZI 2020: Vyombo vya Habari tunavyovihitaji Tanzania

    Uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 umeanza. Je, tunahitaji Vyombo vya Habari vyenye sifa zipi wakati tukiingia kwenye kampeni hizi? Nimeorodhesha hapa chini matarajio 7 ambayo yanapaswa kufikiwa na vyombo vya habari nchini ili kujenga mazingira bora ya Kampeni na Uchaguzi. 1...
  3. A

    When an economic hit man confesses...

    When an economic hit man confesses...
  4. A

    GREAT MINDS: Nukuu toka kwa Yoweri Museveni

    Haya aliyaandika kwenye kitabu chake kilichotoka mwaka 1997. Kipindi hicho alikuwa na fikra hizi!
  5. A

    GREAT MINDS: Nukuu toka kwa Yoweri Museveni

    Tunasema na kutenda, au tunasema na kusema!
  6. A

    NSSF ya Dr. Dau na udini itajifia karibuni

    Maoni yangu: 1. Kimaadili, si sahihi kutoa taarifa za usaili wa kazi nje ya vikao rasmi. Kama kweli huyu bwana/bibie ana nia njema ya kusaidia taifa na nssf angeliwasilisha maoni yake huko. Nina hakika hajafanya hivyo. Watu wa aina hii ni hatari sana. 2. Ingelikuwa bora angetuonesha uwiano wa...
  7. A

    JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

    Baada ya kutazama kipindi chote cha jana TBC kuhusu sensa, nimehitimisha kwamba huyu Mkurugenzi wa Ofisi ya Takwimu upeo wake wa mambo ni mdogo sana. Wakati mwingine ni vigumu sana kuamini kama mtu kweli ana PhD ambaye ameisomea mwenyewe.
  8. A

    Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

    Tusaidiane: 1. Kwenye hiyo orodha, kuna nani ambaye unafikiri hakupaswa kuwemo? 2. Hiyo per diem ya USD 420 ni ya nini? Kama ni malazi na chakula, malazi na chakula ni kiasi gani? Walikaa kwenye hoteli gani? Hoteli hiyo gharama zake zikoje nk? 3. Hiyo 'exchange rate' ndio iliyotumika kwenye...
  9. A

    Babu Loliondo awaonya wanaomuiga

    Nimeipenda hii nukuu ya babu hapo juu: “Wananchi wajihadhari na watu wa sehemu nyingine wanaodai wameoteshwa na Mungu na kutoa tiba ya kikombe, ni matapeli tena wauaji.”!!!!!!!!!!!!
  10. A

    TBC ni Shirika la CCM au la Umma?

    Ndugu zangu, TBC si chombo cha umma kama inanvyosemwa. Bado kiko mikononi mwa serikali kwani mkurugenzi wake anateuliwa na Rais, bajeti yake inatoka serikalini, wajumbe wa bodi wanateuliwa na waziri. Kwa muundo huu, hakiwezi kuwa chombo huru cha umma. Mabadiliko maalumu ya kisheria...
Back
Top Bottom