Angalia mpira kaka na usitazame kwa jicho la kumchukua mchezaji. So far so good. Hapo ni kocha kubadirisha mbinu kipindi cha pili basi wanakaa
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Na hii ni shida kwa wachezaji wengi wa kitanzania, mwisho wanakuwa na wivu na maneno ya kiswahili, ohhoo, napiga kazi mshahara kidogo, wakati wengine mshahara mkubwa. Je wakati unasaini ulikuwa wapi ku bargain hili upate mkubwa?
Ni ukweli usiopingika kuwa Fei Toto amekuwa moja ya wachezaji muhimu sana Yanga. Na ni ukweli kuwa kijana amekuwa akiipambania Yanga kwa jasho na damu kwa kipindi chote alichokuwa anaichezea timu hii ya Jangwani.
Hakika litakuwa pigo kwa Yanga, lakini kuna msemo unasema "watu uja na kuondoka" na...
Arsenal inahitaji strong CM mwenye uwezo wa ku link vzr na sehemu ya ushambuliaji. Pia mtu wa kumsaidia Saka, the guy is exhausted sana game hizi tatu za mwanzo. Then haitakuwa tena kuwania top 4 bali kuwania u champion
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.