Search results

  1. B

    RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Naomba ufafanuzi kuhusu wakuu wa mkoa/wilaya watakuwepo? Wanapatikanaje? Madaraka ya rais sijaona yamepunguzwaje. Kura za ushindi wa urais inakuwaje endapo aliyenda ana ushindi mdogo upande moja kwenye serikali ya shirikisho?
  2. B

    Tundu Lissu atoa shilingi

    Namkubali Lisu kwa hili na ataibuka mshindi kwa vyovyote vile.
  3. B

    James Ole Millya na Joshua Nassari kuunguruma kesho Mbulu

    mbungu wa mbulu naye anatakiwa awepo kwenye mkutano huo pia. Mbona hajatajwa uwepo wake?
  4. B

    James Ole Millya na Joshua Nassari kuunguruma kesho Mbulu

    Mbona hatusikiijina la mwenyeji wa mkutano. Mbunge wa Mbulu ni wa Chadema ina maana hatashiriki hiyo mikutano?
  5. B

    Membe: Malawi haiwezi kuishtaki Tanzania ICJ, Tanzania haiitambui ICJ

    Membe is right. Amejibu vizuri sana.
  6. B

    Jukwaa la wahariri wagomea kuandika habari zote za jeshi la polisi

    Wasusia Kuandika habari za serikali na chama cha Magamba (CCM) maana ndio waliotoa agizo hilo. Bila kushinikiza tume huru na kutoa ukweli kwa umma haitasaidia kabisa. Ila naunga mkono kwa wana habari kuweka Documentation yao kwa marehemu jinsi mambo yalivyotokea ili iwe kumbukumbu kwa siku...
  7. B

    Zitto: Sijahongwa, ni siasa za urais na hasira za posho!

    Kitakacho wamaliza viongozi wote wa dini ya Kiislamu ni kuuweka udini mbele kuliko uwezo wao. Zitto siyo ajabu akang'ang'ania kuugombea urais 2015 japo anajua hataweza kukubaliwa na chama chake ili kukigawa chama lakini sasa amejionyesha mapema yeye ni wa namna gani. Wanaomuunga mkono wana fikra...
  8. B

    BARAZA la Mawaziri Kivuli, Kambi Rasmi ya Upinzani baada ya mabadiliko

    Hapo kwa KUB nashauri awe na naibu na kwa Silinde pia. TAMISEMI inataka usimamizi wa kina zaidi.
  9. B

    Shibuda kufukuzwa CHADEMA

    Naungana na wazo lako 100% hakuna haja ya kumwekea vikao mnazidi kumpa umaarufu. Dawa yake BAVICHA tu basi.
  10. B

    JK amebanwa na mfumo mzima wa CCM lakini inaonyesha dhahiri hapendezwi na ufuatiliaje wake

    JK amebanwa na mfumo mzima wa CCM lakini inaonyesha dhahiri hapendezwi na ufuatiliaje wake katika uwajibikaji.
  11. B

    JK alikusudia Kutudanganya, au alidanganywa ili atudanganye?

    JK kusema kweli katoa uhuru wa kweli wa mambo kuchambuliwa sasa ni wakati wa sisi kutunga sheria mtu apelekwe mahakamani moja kwa moja baada ya hapo lakini yeye kama mkuu wa nchi hawezi kufanya hivyo maana sheria nazo zatungwa na Bunge. Na wabunge ndio wanakuwa wakali bila kujua je rais ana...
  12. B

    HOJA ya Zitto yawasilishwa kwa spika

    Asante kwa taarifa
  13. B

    Natangaza 'kumdharau' January Makamba rasmi!

    Jan Makamba ni mnafiki mkubwa hafai. Hata mie nilimwamini lakini kwa hili la sasa hivi ni wakuogopwa kama ukoma.
  14. B

    Wabunge wanaoamini MAGEUZI kufanya mkutano na waandishi saa tisa alasiri leo hii!

    Zito komaaa na msimamo wako kesho hoja ipelekwe bungeni kutokuwa na imani. Tukisema eti Pinda hana makosa wakati yeye hataki kuwawajibisha mawaziri basi yeye abebe msalaba wao. Baada ya Pinda kutoka atafuata JK tena atatoka kwa aibu zaidi. JK kwa sasa hana tofauti na Gadaffi aliye waita wananchi...
  15. B

    Kikwete awalinda Mawaziri - Asisitiza waachwe, UPEPO HUU UTAPITA!

    Huku ni kulidharau bunge na wananchi pia. Sasa sote kwa pamoja ni kumwadhibu jk kwa kutokuwa na imani naye pia. So stupid!
  16. B

    Kweli CHADEMA wanapendwa hivi au Macho yangu!?

    :)hata wazee nao wanakipenda cdm ni waganga tu wakienyeji ndio hawakipendi cdm.
  17. B

    CHADEMA wajiondoa kugombea ubunge - EALA

    Hii imetulia dawa ni kwenda mahakamani. Sasa wapeleke magamba yao kwenye hiyo mahakama kama wanajeuri.
  18. B

    Madiwani waliotimuliwa Chadema Arusha waomba radhi, Napendekeza wasamehewe

    Mimi nadhani wasamehewe na wawarudisha katika udiwani kuepuka gharama nyingine za uchaguzi endapo sheria ina ruhusu. Kama sheria itataka uchaguzi urudiwe basi kuna haja ya kukaa chini na kutafakari upya kwa wao kuwa wagombea tena. Busara itumike zaidi kuliko ushabiki. Na wao nao ni binadamu kama...
  19. B

    Madiwani waliotimuliwa Chadema Arusha waomba radhi, Napendekeza wasamehewe

    Mimi nadhani wasamehewe na wawarudisha katika udiwani kuepuka gharama nyingine za uchaguzi endapo sheria ina ruhusu. Kama sheria itataka uchaguzi urudiwe basi kuna haja ya kukaa chini na kutafakari upya kwa wao kuwa wagombea tena. Busara itumike zaidi.
  20. B

    Lema apewa chopa kujenga Chadema

    Safi sana Cdm. Magamba watatamani Lema arudi Bungeni na jinsi alivyo na mvuto kila kona ya nchi ndio ataita hisia za watu kujua haki zao kwa unasaha. CDM mmebuni kitu kizuri sana. Hatukiwii kusikia na mikutano ya hadhara imekatazwa nchi nzima.
Back
Top Bottom