Kosa la kupiga kampeni kwa kisingizio cha kutangania na kutafuta wadhamini mara hii halitamwacha salama! Kwenye kapu hilo wapo wote waliotangaza nia kwa kufanya kampeni labda Makongoro tu ndo anaweza salmika, ila ENL, MLN, MPM, JYM,BCM,WN, FTS na SMW wote manzi ga nyanza! wote lazima wapate...
Mimi naona wahariri wako sawa kabisa,...Ni rahisi kurekebisha makosa yatokanayo na BVR ila si rahisi kurekebisha makosa ya rais mbovu aliyepita kinyemela hadi kufikia nafasi hiyo urais...! Kupitia hoja za watia nia, huenda wananchi watatambua kuwa si kila king'aacho ni dhahabu!
Maneno huumba, dawa tuandae mechi moja ya kirafiki na timu yoyote, tukiifunga tumlazimishe R/M/JMT/ Mwinyi atamke hadharani kuwa Tanzania is no longer and will never be kichwa cha mwendawazimu any more... Inabidi tufanye haraka maana jamaa keshagonga 90..!
Naona ccm wanawaiga cdm, kama wenzo walivyokiuka ukomo wa muda wa mwenyekiti, hao wanajiandaa kukiuka muda wa uanachama..! Hizi katiba zinawabana wasiotakiwa tu, utafikiri ni mchezo wa TFF na michael wambura!
Hizi taaluma za watu, matusi na mapovu hayasaidii.. Turudi kwenye hoja, maamuzi ya mwenyekiti wa NEC siyo maamuzi ya mahakama ingawa huyo mwenyekiti ni alikuwa ni jaji. Kwa hiyo yasitumike katika hili suala, maana hata yakitumika hayatasaidia. Unakumbuka kesi ya Zombe? tume iliyoongozwa na...
Wewe mdanganye, kwa vile maamuzi ya jaji yalitolewa nje ya huduma ya kimahakama... yanaweza kutenguliwa hata na hakimu wa mahakama ya mwanzo. Ingawa angeyatoa katika huduma ya kimahakama yangegeuka sheria kwa mahakama zote za chini. Kwa hiyo, huo uamuzi ulitokana na utashi wa jaji makame tu...
Huu utitiri wa vyuo vinavyotoa wanasheria ni hasara, maamuzi ya mwenyekiti wa NEC unayaita kuwa case law? Case law inatokana na hukumu ya kimahakama siyo utashi wa jaji nje ya huduma ya mahakama..! waweza kunikosoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.