steve alikuwa maarufu sawa..ila baada ya msiba magamba wakasoma mchezo..mzee sitta alikuja binafsi ila ni opportunist anataka kuskia harufu ya samaki wa kukaanga akiwa pale kwenye mjengo wetu..ghafla ba mwanaasha nae huyo 10m++++..huyo martaaa ni vuvuzela tu...one of my lecturers said and i...
katika matusi yote hakuna baya kama ile kutumia mimba kwa kina mama kama dhihaka....kwa maadili hata ya dini mimba ni baraka nilishangaa sana yeye akatumia kupata mimba kama aibu,dhihaka,na kuaminisha kuwa mimba mapacha ni dhihaka kubwa zaidi.. kina mama nao kwa masikitiko makubwa walikuwa...
huyu mzee aliyataka mwenyewe...may be anabembeleza wasimgeuke kwa maovu aliyofanya
tuna wazee wengi wamebaki na legacy yao coz hawashiriki haya mambo like mkapa..think of warioba,salim,mwinyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.