Hapa elimu inatakiwa, ninavyojua mjamzito mwenye complications kama mapacha na baadhi ya matatizo mengine kama hayo hatakiwi kuanza uchungu akiwa nyumbani, na kila mama mjamzito anaeenda clinic anaelezwa mambo haya. Kinachoshangaza watanzania tuko wagumu kuelewa FACTS! Na matokeo yake...
Yeye ni kiongozi wa ngazi ya juu na heshima kubwa amepewa na chama. Ningependa kuona yafuatayo...
Akili ni kwa makosa yapi Watanzania wamsamehe.
ZZK inabidi awajibike aachie ngazi na ahidi kutorudia
ZZK ni MCHU WA MADARAKA KIBULI NA TAMAA!!! Hawezi kuwa RAIS wa TZ... Na nahisi amelitambua hilo, japo sijaamini bado maana amegusia suala katiba na interest yake ni umri kwenye katiba .... poor ZZK
This is my President, nakumbuka 2000.. ndio nilianza kupiga na nilimpa mzee wa ndugu wananchi, nilipenda sana kauli zako za mwisho wa mwezi na kipindi hiki cha bwana cheka ni mipasho na sisililizi tena. Ubalikiwe na Mungu akujalie afya njema daima.
Umenigusa mkuu, haya ndio mawazo mbadala...we call PLAN B, thats naipenda jamiiforums, nachojua CHADEMA itabaki hata tukifa Susie, nachopata wasiwasi ni pale mchangiaji anaposema zitto ana damu ya CHADEMA...that's RIDICULOUS, anataka kutuambia lifespan ya chama anaishikilia mtu....IDIOT.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.