Salaam!
Najiuliza sana jamani kila nikiraise issue ambayo naona ni yakudiscuss kimahusiano najiwa juuu nasusiwa!ila sijampa game wiki sasa? Je hio ndo sababu au ndo sina changu hapo?wadau naomba mawazo yenu
Sipati picha napanda jukwaani na shika kipaza sauti mbele ya umati wa watu ... Naanza we flani miguu kama naniii!duh huogopi?:ujafa hujaumbika worse still ukizaa ngedere?au mkeo akizaa nyani?tumuogope Mungu!ukiachana na hayo,mahakama haikufanya maamuzi ya kizalendo bora ingemtoza fain kumvua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.