Kutoka MOMBASA had MAJOHE ni mwendo wa dk 20 had nusu saa hivi.
Kuhusu suala la eneo hilo kupitishwa bomba la SONGAS sijapewa taarifa yoyote,ninachojua ni kwamba tetesi hizo zinahusisha eneo lililo mbali na hapo.Kiwanja kipo jirani na eneo lililotengwa na serikali kwa ajili ya makaz ya watu...
Majohe ipo wilaya Ilala-Dsm
Ili ufike kilipo kiwanja utaanzia safar yako pale Ukonga Mombasa,kama unatumia daladala kuna magari pale yanakwenda KWA MKOLEMBA,ukipanda hayo unafka moja kwa moja,kama una usafiri binafsi utafuata njia inayokwenda KWA DIWANI.
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30 kwa 50 kinauzwa haraka,kipo maeneo ya Majohe,bei ni 3.5mil.
Wasiliana na mmiliki kwa simu namba 0715334456,0767334467 au 0788334467
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.